✍🏾NAFASI 400 ZA AJIRA QATAR – MADEREVA WA MABASI NA MALORI MAKUBWA!

Kupitia ushirikiano na Kampuni yetu Tanzu, Imara horizon, madereva 400 wanahitajika kwenda kufanya kazi nchini Qatar chini ya kampuni ya Mowasalat.

📔Faida:

✅ Visa, nauli ya ndege, na gharama zote muhimu zitalipiwa kikamilifu.

✅ Mafunzo ya kitaalamu ya udereva

✅ Malazi, matibabu na bima ya maisha zitatolewa.

⚠️ Hakuna malipo yoyote muombaji atagharamia.

Bonyeza link hii https://mkapafoundation.or.tz/index.php/international-career/ na ujaze taarifa zako muhimu.

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 15. 04. 2025.







Comments

Popular posts from this blog

Anaitajika araka sana

✅ NAFASI ZA KAZI MPYA